Curriculum
Course: usimamizi wa fedha
Login
Text lesson

Karibu

Karibu katika somo la usimamizi wa Fedha!

Kozi hii imeandaliwa kwa ajili ya kujifunza mwenyewe kwa haraka: Na kwa kila somo, utafanya haya yafuatayo: 

  • Jifunze: Kusoma, Kutazama, au ukipenda pata somo kwa njia ya barua pepe.
  • Fanya kwa vitendo: Kila somo huishia na jambo moja “Zoezi la nyumbani” hivyo kuanzia somo la kwanza utaweza kuongeza uelewa wa namna bora ya kusimamia fedha. Sehemu hii ni ya muhimu sana. 

Kozi hii ina mada 13 kuanzia usimamizi wa gharama za matumizi, kudhibiti madeni, utekelezaji wa miradi, mipango ya baadae,  kuzungumza na familia yako kuhusu maswala ya fedha, kufanya uchaguzi katika kutumia bidhaa za kifedha n.k …

Weka maswali yako katika jukwaa la maswali. Hivyo tunaweza kuanza!  

Asante Samwel kwa tafsiri!